Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 5:5 - Swahili Revised Union Version

Na hapa palikuwa na mtu, ambaye amekuwa mgonjwa muda wa miaka thelathini na minane.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mmoja aliyekuwa ameugua kwa miaka thelathini na nane alikuwa hapo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mmoja alikuwako huko ambaye alikuwa ameugua kwa miaka thelathini na minane.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hapa palikuwa na mtu, ambaye amekuwa mgonjwa muda wa miaka thelathini na minane.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 5:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwuliza babaye, Amepatwa na haya tangu lini? Akasema, Tangu utoto.


Na huyu mwanamke, aliye wa uzao wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga miaka kumi na minane hii, haikupasa afunguliwe kifungo hiki siku ya sabato?


Na mwanamke mmoja, ambaye ametokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, [aliyekuwa amegharimiwa mali zake zote kwa kuwapa waganga] asipate kuponywa na mtu yeyote,


Baada ya hayo Yesu akamkuta ndani ya hekalu, akamwambia, Angalia, umekuwa mzima; usitende dhambi tena, lisije likakupata jambo lililo baya zaidi.


Kwa maana kuna wakati ambapo malaika hushuka, akaingia katika lile bwawa, akayatibua maji. Basi yeye aliyeingia wa kwanza baada ya maji kutibuliwa, akapona ugonjwa wote uliokuwa umempata.]


Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa katika hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima?


Na alipokuwa akipita alimwona mtu, kipofu tangu kuzaliwa.


lakini jinsi aonavyo sasa hatujui; wala hatujui ni nani aliyemfumbua macho. Mwulizeni yeye mwenyewe; yeye ni mtu mzima; atajisemea mwenyewe.


Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja, asiyeweza kutumia miguu yake na aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa kwake.


Na mtu mmoja aliyekuwa kiwete toka tumboni mwa mamaye alichukuliwa na watu, ambaye walimweka kila siku katika mlango wa hekalu uitwao Mzuri, ili aombe sadaka kwa watu waingiao ndani ya hekalu.


maana umri wake yule mtu aliyefanyiwa ishara hii ya kuponya ulipita miaka arubaini.


Akamwona mtu mmoja huko, jina lake Ainea, mtu huyo alikuwa amelala kitandani miaka minane; maana alikuwa amepooza.