Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 5:47 - Swahili Revised Union Version

Lakini msipoyaamini maandiko yake, mtayaamini maneno yangu vipi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini hamyaamini yale aliyoandika; mtawezaje basi, kuamini maneno yangu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini hamyaamini yale aliyoandika; mtawezaje basi, kuamini maneno yangu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini hamyaamini yale aliyoandika; mtawezaje basi, kuamini maneno yangu?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini ikiwa hamwamini aliyoandika Musa, mtaaminije ninayoyasema?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini ikiwa hamwamini aliyoandika Musa, mtaaminije ninayoyasema?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini msipoyaamini maandiko yake, mtayaamini maneno yangu vipi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 5:47
3 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.


Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishika hata mtu akifufuka katika wafu.


na ya kuwa tangu utotoni umeyajua Maandiko Matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.