Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 5:11 - Swahili Revised Union Version

Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima ndiye aliyeniambia, Jitwike godoro lako, uende.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini yeye akawaambia, “Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: ‘Chukua mkeka wako, utembee.’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye akawajibu, “Yule mtu aliyeniponya aliniambia, ‘Chukua mkeka wako na uende.’ ”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye akawajibu, “Yule mtu aliyeniponya aliniambia, ‘Chukua mkeka wako na uende.’ ”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima ndiye aliyeniambia, Jitwike godoro lako, uende.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 5:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hiyo Wayahudi wakamwambia yule aliyeponywa, Leo ni sabato, wala si halali kwako kujitwika godoro.


Basi wakamwuliza, Yule aliyekuambia, Jitwike, uende, ni nani?


Wakamwambia, Yuko wapi huyo? Akasema, Mimi sijui.


Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.