Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:33 - Swahili Revised Union Version

Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wake wakaulizana, “Je, kuna mtu aliyemletea chakula?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:33
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na kulipokucha aliwaita wanafunzi wake; akachagua kumi na wawili miongoni mwao, ambao aliwaita mitume;


Lakini hawakulifahamu neno lile, likafichwa kwao wasilitambue; wakaogopa kumwuliza maana yake neno lile.


Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliomsikia Yohana na kumfuata Yesu.


Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.


Akawaambia, Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.