Yohana 1:40 - Swahili Revised Union Version40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliomsikia Yohana na kumfuata Yesu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa wamemsikia Yohane akisema hivyo, wakamfuata Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa wamemsikia Yohane akisema hivyo, wakamfuata Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa wamemsikia Yohane akisema hivyo, wakamfuata Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliosikia yale Yahya alisema na kumfuata Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu40 Andrea nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliosikia yale Yahya aliyokuwa amesema, naye ndiye alimfuata Isa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliomsikia Yohana na kumfuata Yesu. Tazama sura |