Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 1:40 - Swahili Revised Union Version

40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliomsikia Yohana na kumfuata Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa wamemsikia Yohane akisema hivyo, wakamfuata Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa wamemsikia Yohane akisema hivyo, wakamfuata Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa hao wawili waliokuwa wamemsikia Yohane akisema hivyo, wakamfuata Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliosikia yale Yahya alisema na kumfuata Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Andrea nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliosikia yale Yahya aliyokuwa amesema, naye ndiye alimfuata Isa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 Andrea, nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliomsikia Yohana na kumfuata Yesu.

Tazama sura Nakili




Yohana 1:40
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya; Wa kwanza Simoni aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye;


Ikawa makutano walipomsonga wakilisikiliza neno la Mungu, yeye alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti,


Akawaambia, Njooni, nanyi mtaona. Wakaenda, wakaona akaapo, wakakaa kwake siku ile. Nayo ilikuwa yapata saa kumi.


Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.


Basi wanafunzi wake wakasemezana, Je! Mtu amemletea chakula?


Wanafunzi wake mmojawapo, Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia,


Wakati walipoingia, wakapanda ghorofani, walipokuwa wakikaa; Petro, na Yohana, na Yakobo, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo wa Alfayo, na Simoni Zelote, na Yuda wa Yakobo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo