Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:16 - Swahili Revised Union Version

Yesu akamwambia, Nenda kamwite mumeo, uje naye hapa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamwambia, “Nenda ukamwite mumeo, uje naye hapa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamwambia, “Nenda ukamwite mumeo, uje naye hapa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamwambia, “Nenda ukamwite mumeo, uje naye hapa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamjibu, “Nenda ukamwite mumeo, uje naye hapa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamjibu, “Nenda ukamwite mumeo, uje naye hapa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akamwambia, Nenda kamwite mumeo, uje naye hapa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akampeleka kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama, akasema, Wewe u Simoni, mwana wa Yohana; nawe utaitwa Kefa (tafsiri yake Petro, au Jiwe).


Akamwambia mara ya tatu, Simoni wa Yohana, wanipenda? Petro alihuzunika kwa vile alivyomwambia mara ya tatu, Wanipenda? Akamwambia, Bwana, wewe wajua yote; wewe umetambua ya kuwa nakupenda. Yesu akamwambia, Lisha kondoo wangu.


Yule mwanamke akamwambia, Bwana, unipe maji hayo, nisione kiu, wala nisije hapa kuteka.


Yule mwanamke akajibu, akasema, Sina mume. Yesu akamwambia, Umesema vema, Sina mume;


kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siye mume wako; hapo umesema kweli.


Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.


nami nitawaua watoto wake kwa mauti. Na makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye achunguzaye fikira na mioyo. Nami nitampa kila mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yake.