Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 3:7 - Swahili Revised Union Version

Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, Hamna budi kuzaliwa mara ya pili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usistaajabu kwamba nimekuambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usistaajabu kwamba nimekuambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usistaajabu kwamba nimekuambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo usishangae ninapokuambia, ‘Huna budi kuzaliwa mara ya pili.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo usishangae ninapokuambia huna budi ‘kuzaliwa mara ya pili.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, Hamna budi kuzaliwa mara ya pili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 3:7
17 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mwanadamu ni kitu gani, hata akawa safi? Huyo aliyezaliwa na mwanamke, hata awe na haki?


Ikiwa nimewaambia mambo ya duniani, wala hamsadiki, mtasadiki wapi niwaambiapo mambo ya mbinguni?


Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.


Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.


Upepo huvuma upendako, na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda; kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa Roho.


Msistaajabie maneno hayo; kwa maana saa inakuja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake.


mkimshukuru Baba, aliyewastahilisha kupokea sehemu ya urithi wa watakatifu katika nuru.


Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;


Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.


Na ndani yake hakitaingia kamwe chochote kilicho kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-kondoo.