Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 20:10 - Swahili Revised Union Version

Basi wale wanafunzi wakaenda zao tena nyumbani kwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, hao wanafunzi wakarudi nyumbani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, hao wanafunzi wakarudi nyumbani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, hao wanafunzi wakarudi nyumbani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha hao wanafunzi wakaondoka, wakarudi nyumbani mwao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha hao wanafunzi wakaondoka wakarudi nyumbani kwao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wale wanafunzi wakaenda zao tena nyumbani kwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 20:10
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno yao yakaonekana kuwa kama upuzi kwao, wala hawakuwasadiki. Lakini Petro aliondoka akaenda mbio hadi kaburini, akainama akachungulia ndani, akaviona vile vitambaa vya sanda tu; akaenda zake akiyastaajabia yaliyotukia.


Tazama, saa inakuja, naam, imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao kwao, na kuniacha mimi peke yangu; lakini mimi siko peke yangu, kwa kuwa Baba yupo pamoja nami.


Lakini Mariamu alikuwa akisimama karibu na kaburi, nje yake, analia. Wakati alipokuwa akilia, aliinama na kuchungulia ndani ya kaburi.