Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 2:8 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia, Sasa tekeni, mkampelekee mkuu wa sherehe. Wakapeleka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akawaambia, “Sasa choteni mkampelekee mkuu wa karamu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akawaambia, “Sasa choteni mkampelekee mkuu wa karamu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akawaambia, “Sasa choteni mkampelekee mkuu wa karamu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akawaambia, “Sasa choteni hayo maji kidogo; mpelekeeni mkuu wa sherehe.” Hivyo wakachota, wakampelekea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akawaambia, “Sasa choteni hayo maji kidogo, mpelekeeni mkuu wa meza.” Hivyo wakachota, wakampelekea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia, Sasa tekeni, mkampelekee mkuu wa sherehe. Wakapeleka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 2:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mapenzi yao na chuki yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lolote lililofanyika chini ya jua.


Yesu akawaambia, Jalizeni mabalasi maji. Nao wakayajaliza mpaka juu.


Naye mkuu wa sherehe alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua, wale walioyateka yale maji), yule mkuu wa sherehe alimwita bwana arusi,


Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima.