Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 19:22 - Swahili Revised Union Version

Pilato akajibu, Niliyoandika nimeyaandika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pilato akajibu, “Niliyoandika, nimeandika!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pilato akajibu, “Niliyoandika, nimeandika!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pilato akajibu, “Niliyoandika, nimeandika!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pilato akawajibu, “Nilichokwisha kuandika, nimeandika!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pilato akawajibu, “Nilichokwisha kuandika, nimeandika!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pilato akajibu, Niliyoandika nimeyaandika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 19:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu Mwenyezi na awape rehema usoni pa mtu yule ili awafungulie ndugu yenu huyo mwingine, na Benyamini. Nami nikifiwa na watoto wangu, nimefiwa.


Nenda ukawakusanye Wayahudi wote waliopo hapa Susa, mkafunge kwa ajili yangu; msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku wala mchana, nami na wajakazi wangu tutafunga vile vile; kisha nitaingia kwa mfalme, kinyume cha sheria; nami nikiangamia, na niangamie.


Watuliza kuvuma kwa bahari, Kuvuma kwa mawimbi yake, Na ghasia za watu;


Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;


Na tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu ajifanyaye kuwa mfalme humfitini Kaisari.