Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 19:22 - Swahili Revised Union Version

22 Pilato akajibu, Niliyoandika nimeyaandika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Pilato akajibu, “Niliyoandika, nimeandika!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Pilato akajibu, “Niliyoandika, nimeandika!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Pilato akajibu, “Niliyoandika, nimeandika!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Pilato akawajibu, “Nilichokwisha kuandika, nimeandika!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Pilato akawajibu, “Nilichokwisha kuandika, nimeandika!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Pilato akajibu, Niliyoandika nimeyaandika.

Tazama sura Nakili




Yohana 19:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu Mwenyezi na awape rehema usoni pa mtu yule ili awafungulie ndugu yenu huyo mwingine, na Benyamini. Nami nikifiwa na watoto wangu, nimefiwa.


Nenda ukawakusanye Wayahudi wote waliopo hapa Susa, mkafunge kwa ajili yangu; msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku wala mchana, nami na wajakazi wangu tutafunga vile vile; kisha nitaingia kwa mfalme, kinyume cha sheria; nami nikiangamia, na niangamie.


Watuliza kuvuma kwa bahari, Kuvuma kwa mawimbi yake, Na ghasia za watu;


Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;


Na tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu ajifanyaye kuwa mfalme humfitini Kaisari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo