Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 18:30 - Swahili Revised Union Version

Wakajibu, wakamwambia, Kama huyu asingekuwa mtenda mabaya, tusingemleta kwako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu, tusingemleta kwako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakajibu, wakamwambia, Kama huyu asingekuwa mtenda mabaya, tusingemleta kwako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 18:30
11 Marejeleo ya Msalaba  

akisema, Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemu; na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi, nao watamhukumu afe, watamtia mikononi mwa Mataifa,


Nao wakuu wa makuhani walikuwa wakimshitaki mambo mengi.


akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kutiwa mikononi mwa wenye dhambi, na kusulubiwa, na kufufuka siku ya tatu.


Basi Pilato akawatokea nje, akasema, Ni mashitaka gani mnayoleta juu ya mtu huyu?


Basi Pilato akawaambia, Haya! Mtwaeni ninyi, mkamhukumu kwa ile torati yenu! Wayahudi wakamwambia, Sisi hatuna ruhusa ya kuua mtu.


Na tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu ajifanyaye kuwa mfalme humfitini Kaisari.


Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu, ambaye ninyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake afunguliwe.


Nami katika hiyo nimeteswa hata kufungwa kama mtenda mabaya; lakini neno la Mungu halifungwi.


Lakini pasiwe na hata mmoja wenu atakayeteseka kwa kuwa mwuaji, mwizi, mhalifu au hata mfitini.