Yohana 18:30 - Swahili Revised Union Version30 Wakajibu, wakamwambia, Kama huyu asingekuwa mtenda mabaya, tusingemleta kwako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Wakamjibu, “Kama huyu hangalikuwa mwovu hatungalimleta kwako.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu, tusingemleta kwako.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 Wakajibu, wakamwambia, Kama huyu asingekuwa mtenda mabaya, tusingemleta kwako. Tazama sura |