Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 15:3 - Swahili Revised Union Version

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyinyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyinyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyinyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililonena nanyi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililonena nanyi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 15:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akamwambia, Yeye aliyekwisha kuoga mwili hana haja ila ya kuosha miguu, maana yu safi mwili wote; nanyi mmekuwa safi, lakini si nyote.


Kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na kila tawi lizaalo hulisafisha, ili lizidi kuzaa.


Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli.


Na kwa ajili yao najiweka wakfu mwenyewe, ili na hao watakaswe katika kweli.


ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;


Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.