Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 14:14 - Swahili Revised Union Version

Mkiniomba neno lolote kwa jina langu, nitalifanya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mkiniomba lolote kwa Jina langu, nitalifanya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mkiniomba lolote kwa Jina langu nitalifanya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkiniomba neno lolote kwa jina langu, nitalifanya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 14:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.


Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;


Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lolote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni.


Tena siku ile hamtaniuliza neno lolote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lolote atawapa kwa jina langu.


Hata sasa hamjaomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.


Namshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kwa sababu ya neema ya Mungu mliyopewa katika Kristo Yesu;