Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 14:14 - Swahili Revised Union Version

14 Mkiniomba neno lolote kwa jina langu, nitalifanya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Mkiniomba lolote kwa Jina langu, nitalifanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kama mkiniomba lolote kwa Jina langu nitalifanya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Mkiniomba neno lolote kwa jina langu, nitalifanya.

Tazama sura Nakili




Yohana 14:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.


Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;


Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lolote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni.


Tena siku ile hamtaniuliza neno lolote. Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lolote atawapa kwa jina langu.


Hata sasa hamjaomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.


Namshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kwa sababu ya neema ya Mungu mliyopewa katika Kristo Yesu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo