Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 13:24 - Swahili Revised Union Version

Basi Simoni Petro akampungia mkono, akamwambia, Uliza, ni nani amtajaye?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: “Mwulize anasema juu ya nani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: “Mwulize anasema juu ya nani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Simoni Petro akamwashiria na kusema: “Mwulize anasema juu ya nani.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Simoni Petro akampungia mkono yule mwanafunzi, akamwambia, “Muulize anamaanisha nani.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Simoni Petro akampungia mkono yule mwanafunzi, akamwambia, “Muulize anamaanisha nani.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Simoni Petro akampungia mkono, akamwambia, Uliza, ni nani amtajaye?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 13:24
7 Marejeleo ya Msalaba  

Alipotoka akiwa hawezi kusema nao, walitambua ya kuwa ameona maono ndani ya hekalu, naye aliendelea kuwaashiria akakaa bubu.


wakawapungia mikono washiriki wenzao waliokuwa katika mashua nyingine, waje kuwasaidia; wakaja, wakazijaza mashua zote mbili, hata zikakaribia kuzama.


Na palikuwapo mmoja wa wanafunzi wake, ameegama kifuani pa Yesu, ambaye Yesu alimpenda.


Basi yeye, huku akimwelekea Yesu kifua chake, akamwambia, Bwana, ni nani?


Naye akawapungia mkono wanyamaze, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa katika gereza. Akasema, Kampasheni Yakobo na wale ndugu habari hizi. Akaondoka, akaenda mahali pengine.


Paulo akasimama, akawapungia mkono, akasema, Enyi Waisraeli, nanyi mnaomcha Mungu, sikilizeni.


Basi, alipompa ruhusa, Paulo akasimama madarajani, akawapungia mkono wale wenyeji; na ilipokuwa kimya kabisa, akanena nao kwa lugha ya Kiebrania.