Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 13:25 - Swahili Revised Union Version

25 Basi yeye, huku akimwelekea Yesu kifua chake, akamwambia, Bwana, ni nani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Mwanafunzi huyo akasogea karibu zaidi na Yesu, akamwuliza, “Bwana, ni nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Mwanafunzi huyo akasogea karibu zaidi na Yesu, akamwuliza, “Bwana, ni nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Mwanafunzi huyo akasogea karibu zaidi na Yesu, akamwuliza, “Bwana, ni nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Yule mwanafunzi akamwegemea Isa, akamuuliza, “Bwana, tuambie, ni nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Yule mwanafunzi akamwegemea Isa, akamuuliza, “Bwana, tuambie, ni nani?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Basi yeye, huku akimwelekea Yesu kifua chake, akamwambia, Bwana, ni nani?

Tazama sura Nakili




Yohana 13:25
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mfalme Ahasuero aliponena, akamwambia malkia Esta, Ni nani huyu, tena yuko wapi, ambaye moyoni mwake alithubutu kufanya hivi?


Basi Simoni Petro akampungia mkono, akamwambia, Uliza, ni nani amtajaye?


Petro akageuka akamwona yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu anafuata; (ndiye huyo aliyeegama kifuani pake wakati wa kula chakula cha jioni, akasema, Bwana, ni nani akusalitiye?)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo