Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 12:8 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana maskini mnao sikuzote pamoja nanyi; bali mimi hamko nami sikuzote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini hamtakuwa nami siku zote.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini hamtakuwa nami siku zote.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini hamtakuwa nami siku zote.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana maskini mnao siku zote pamoja nanyi; bali mimi hamko nami siku zote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 12:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nilimfungulia mpendwa wangu, Lakini mpendwa wangu amegeuka amepita; (Nimezimia nafsi yangu aliponena), Nikamtafuta, nisimpate, Nikamwita, asiniitikie.


Kwa maana siku zote mnao maskini pamoja nanyi; lakini mimi hamko nami siku zote.


maana sikuzote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo mwaweza kuwatendea mema; lakini mimi hamko nami sikuzote.


Basi Yesu akawaambia, Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo. Nendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza lisije likawaweza; maana aendaye gizani hajui aendako.


Enyi watoto wadogo, bado kitambo kidogo nipo pamoja nanyi; mtanitafuta; na kama vile nilivyowaambia Wayahudi ya kwamba, Mimi niendako ninyi hamwezi kuja; kadhalika sasa nawaambia ninyi.


Basi akawaambia tena, Mimi naondoka, nanyi mtanitafuta; nanyi mtakufa katika dhambi yenu; mimi niendako ninyi hamuwezi kuja.


Kwa maana maskini hawatakoma katika nchi milele; ndipo ninakuamuru na kukuambia, Mfumbulie kwa kweli mkono wako nduguyo, mhitaji wako, maskini wako, katika nchi yako.