Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:36 - Swahili Revised Union Version

Basi Wayahudi wakasema, Angalieni jinsi alivyompenda.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Wayahudi wakasema, “Tazameni jinsi alivyompenda!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Wayahudi wakasema, “Tazameni jinsi alivyompenda!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Wayahudi wakasema, “Tazameni jinsi alivyompenda!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Wayahudi wakasema, “Tazama jinsi alivyompenda Lazaro!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Wayahudi wakasema, “Tazama jinsi alivyompenda Lazaro!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Wayahudi wakasema, Angalieni jinsi alivyompenda.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:36
10 Marejeleo ya Msalaba  

na watu wengi katika Wayahudi walikuwa wamekuja kwa Martha na Mariamu, ili kuwafariji kwa ajili ya ndugu yao.


Basi wale dada wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana, yeye umpendaye ni mgonjwa.


mkaende katika upendo, kama Kristo naye alivyowapenda ninyi tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.


Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake;


Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.


tena zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia. Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu katika damu yake,