Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:21 - Swahili Revised Union Version

Basi Martha akamwambia Yesu, Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Martha akamwambia Isa, “Bwana, kama ungekuwa hapa, ndugu yangu hangekufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Martha akamwambia Isa, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Martha akamwambia Yesu, Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:21
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia Eliya, Nina nini nawe, Ee mtu wa Mungu? Je! Umenijia ili dhambi yangu ikumbukwe, ukamwue mwanangu?


Naam, walimwambia Mungu, wakasema, Je! Mungu aweza kuandaa meza jangwani?


Wakamjaribu Mungu tena na tena; Na kumkasirisha Mtakatifu wa Israeli.


Alipokuwa akiwaambia hayo, tazama, akaja kiongozi mmoja, akamsujudia, akisema, Binti yangu sasa hivi amekufa; lakini njoo, uweke mkono wako juu yake, naye ataishi.


Ndiye Mariamu yule aliyempaka Bwana marhamu, akamfuta miguu kwa nywele zake, ambaye Lazaro nduguye alikuwa mgonjwa.


Basi wale dada wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana, yeye umpendaye ni mgonjwa.


Basi Mariamu alipofika pale alipokuwapo Yesu, na kumwona, alianguka miguuni pake, akamwambia, Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa.


Bali wengine wao wakasema, Je! Huyu aliyemfumbua macho yule kipofu, hakuweza kumfanya na huyu asife?