Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 11:21 - Swahili Revised Union Version

21 Basi Martha akamwambia Yesu, Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Martha akamwambia Yesu, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, kaka yangu hangalikufa!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Martha akamwambia Isa, “Bwana, kama ungekuwa hapa, ndugu yangu hangekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Martha akamwambia Isa, “Bwana, kama ungalikuwa hapa, ndugu yangu hangalikufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Basi Martha akamwambia Yesu, Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa.

Tazama sura Nakili




Yohana 11:21
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia Eliya, Nina nini nawe, Ee mtu wa Mungu? Je! Umenijia ili dhambi yangu ikumbukwe, ukamwue mwanangu?


Naam, walimwambia Mungu, wakasema, Je! Mungu aweza kuandaa meza jangwani?


Wakamjaribu Mungu tena na tena; Na kumkasirisha Mtakatifu wa Israeli.


Alipokuwa akiwaambia hayo, tazama, akaja kiongozi mmoja, akamsujudia, akisema, Binti yangu sasa hivi amekufa; lakini njoo, uweke mkono wako juu yake, naye ataishi.


Ndiye Mariamu yule aliyempaka Bwana marhamu, akamfuta miguu kwa nywele zake, ambaye Lazaro nduguye alikuwa mgonjwa.


Basi wale dada wakatuma ujumbe kwake wakisema, Bwana, yeye umpendaye ni mgonjwa.


Basi Mariamu alipofika pale alipokuwapo Yesu, na kumwona, alianguka miguuni pake, akamwambia, Bwana, kama ungalikuwapo hapa, ndugu yangu hangalikufa.


Bali wengine wao wakasema, Je! Huyu aliyemfumbua macho yule kipofu, hakuweza kumfanya na huyu asife?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo