Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:13 - Swahili Revised Union Version

Lakini Yesu alikuwa amenena habari ya mauti yake; nao walidhania ya kuwa ananena habari ya kulala usingizi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wao walidhani kwamba alikuwa amesema juu ya kulala usingizi, kumbe alikuwa amesema juu ya kifo cha Lazaro.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata hivyo, Isa alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata hivyo, Isa alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Yesu alikuwa amenena habari ya mauti yake; nao walidhania ya kuwa ananena habari ya kulala usingizi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

akawaambia, Ondokeni; kwa maana msichana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.


Na watu wote walikuwa wakilia na kumwombolezea; akasema, Msilie, hakufa huyu, bali amelala usingizi tu.


Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.


Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona.


Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, Lazaro amekufa.