Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 11:12 - Swahili Revised Union Version

Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, ikiwa amelala, basi atapona.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala usingizi ataamka.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanafunzi wakamwambia, “Bwana Isa, kama amelala usingizi ataamka.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 11:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

akawaambia, Ondokeni; kwa maana msichana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.


Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.


Lakini Yesu alikuwa amenena habari ya mauti yake; nao walidhania ya kuwa ananena habari ya kulala usingizi.