Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 10:17 - Swahili Revised Union Version

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baba yangu ananipenda kwa kuwa ninautoa uhai wangu ili niupate tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 10:17
12 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea mataifa hukumu.


BWANA akapendezwa, kwa ajili ya haki yake, kuitukuza sheria, na kuiadhimisha.


Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.


kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.


Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nililipokea kwa Baba yangu.


Basi palitokea mashindano ya wanafunzi wa Yohana na Myahudi mmoja juu ya utakaso.


Umependa haki, umechukia maasi; Kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta, Mafuta ya shangwe kupita wenzio.


ila twamwona yeye aliyefanywa mdogo kwa muda kuliko malaika, yaani, Yesu, kwa sababu ya maumivu ya mauti, amevikwa taji la utukufu na heshima, ili kwa neema ya Mungu aionje mauti kwa ajili ya kila mtu.