Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 10:13 - Swahili Revised Union Version

Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 10:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwamwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwamwitu huwakamata na kuwatawanya.


Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi;


Naye aliyasema hayo, si kwa kuwahurumia maskini; bali kwa kuwa ni mwizi, naye ndiye aliyeshika mfuko, akavichukua vilivyotiwa humo.


Nao wote wakamshika Sosthene, mkuu wa sinagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Wala Galio hakuyaona mambo hayo kuwa ni kitu.


Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;


bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.


Maana sina mtu mwingine mwenye nia moja nami, atakayeiangalia hali yenu kweli kweli.