Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 10:13 - Swahili Revised Union Version

13 Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Yeye hajali kitu juu ya kondoo kwa sababu yeye ni mtu wa mshahara tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.

Tazama sura Nakili




Yohana 10:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwamwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwamwitu huwakamata na kuwatawanya.


Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi;


Naye aliyasema hayo, si kwa kuwahurumia maskini; bali kwa kuwa ni mwizi, naye ndiye aliyeshika mfuko, akavichukua vilivyotiwa humo.


Nao wote wakamshika Sosthene, mkuu wa sinagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Wala Galio hakuyaona mambo hayo kuwa ni kitu.


Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;


bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.


Maana sina mtu mwingine mwenye nia moja nami, atakayeiangalia hali yenu kweli kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo