Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Wafilipi 2:20 - Swahili Revised Union Version

20 Maana sina mtu mwingine mwenye nia moja nami, atakayeiangalia hali yenu kweli kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Sina mtu mwingine kama yeye ambaye anawashughulikieni kwa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Sina mtu mwingine kama yeye ambaye anawashughulikieni kwa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Sina mtu mwingine kama yeye ambaye anawashughulikieni kwa moyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Sina mtu mwingine kama yeye, ambaye ataangalia hali yenu kwa halisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Sina mtu mwingine kama yeye, ambaye ataangalia hali yenu kwa halisi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Maana sina mtu mwingine mwenye nia moja nami, atakayeiangalia hali yenu kweli kweli.

Tazama sura Nakili




Wafilipi 2:20
16 Marejeleo ya Msalaba  

Bali ni wewe, mtu mwenzangu, Rafiki yangu, niliyejuana nawe sana.


Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote.


Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.


Naye aliyasema hayo, si kwa kuwahurumia maskini; bali kwa kuwa ni mwizi, naye ndiye aliyeshika mfuko, akavichukua vilivyotiwa humo.


Na Mungu mwenye saburi na faraja awajalie kunuia mamoja ninyi kwa ninyi, kwa kufuata mfano wa Kristo Yesu;


Lakini, Timotheo akija, angalieni akae kwenu pasipo hofu; maana anaifanya kazi ya Bwana vile vile kama mimi mwenyewe;


ijalizeni furaha yangu, ili muwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkiwaza mamoja.


Ila mwajua sifa yake, ya kuwa ametumika pamoja nami kwa ajili ya Injili, kama mwana na baba yake.


Na Yesu aitwaye Yusto awasalimu. Hao tu ndio watu wa tohara miongoni mwa wale watendao kazi pamoja nami kwa ajili ya ufalme wa Mungu; nao wamekuwa msaada kwangu.


kwa Timotheo, mwanangu halisi katika imani. Na iwe kwako neema, rehema na amani, zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.


Uwakumbushe ndugu mambo hayo, nawe utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, na mzoefu wa maneno ya imani, na mafundisho mazuri yale uliyoyafuata.


nikiikumbuka imani uliyo nayo isiyo na unafiki, ambayo ilikaa kwanza katika nyanya yako Loisi, na katika mama yako Eunike, nami nasadiki wewe nawe unayo.


Bali wewe umeyafuata mafundisho yangu, na mwenendo wangu, na makusudi yangu, na imani, na uvumilivu,


Ikawa Daudi alipokwisha kusema na Sauli, roho ya Yonathani, ikaambatana na roho ya Daudi, Yonathani akampenda kama roho yake mwenyewe.


Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo