Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 1:5 - Swahili Revised Union Version

Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nuru hung’aa gizani nalo giza halikuishinda.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nuru hung’aa gizani nalo giza halikuishinda.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 1:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani.


Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua.


uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.


Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.