Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 1:5 - Swahili Revised Union Version

5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Nuru hung’aa gizani nalo giza halikuishinda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Nuru hung’aa gizani nalo giza halikuishinda.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.

Tazama sura Nakili




Yohana 1:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani.


Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua.


uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.


Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo