Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 1:47 - Swahili Revised Union Version

Basi Yesu akamwona Nathanaeli anakuja kwake, akanena habari zake, Tazama, Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alipomwona Nathanaeli akimjia, alisema juu yake, “Tazameni! Huyo ni Mwisraeli halisi: Hamna hila ndani yake.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alipomwona Nathanaeli akimjia, alisema juu yake, “Tazameni! Huyo ni Mwisraeli halisi: Hamna hila ndani yake.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alipomwona Nathanaeli akimjia, alisema juu yake, “Tazameni! Huyo ni Mwisraeli halisi: hamna hila ndani yake.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa alipomwona Nathanaeli anakaribia, akanena habari zake, akasema, “Tazama huyu ni Mwisraeli kweli kweli; hana hila ndani yake.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa alipomwona Nathanaeli anakaribia, akanena habari zake akasema, “Tazama huyu ni Mwisraeli kweli kweli, hana hila ndani yake.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yesu akamwona Nathanaeli anakuja kwake, akanena habari zake, Tazama, Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 1:47
13 Marejeleo ya Msalaba  

Heri ambaye BWANA hamhesabii hatia, Na ambaye rohoni mwake hamna hila.


Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, Kwa hao walio safi mioyo yao.


na kwa sababu hakuwa na haja ya mtu kushuhudia habari za mwanadamu; kwa maana yeye mwenyewe alijua yaliyomo ndani ya mwanadamu.


Yesu akamwambia, Nenda kamwite mumeo, uje naye hapa.


Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli;


Wakajibu, wakamwambia, Baba yetu ndiye Abrahamu! Yesu akawaambia, Kama mngekuwa watoto wa Abrahamu, mngezitenda kazi zake Abrahamu.


ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;


Si kana kwamba neno la Mungu limetanguka. Maana hawawi wote Waisraeli walio wa uzao wa Israeli.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Mungu kwa Roho, na kuona fahari juu ya Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili.


Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote.


Yeye hakutenda dhambi, wala udanganyifu haukuwapo kinywani mwake.


Na katika vinywa vyao haukuonekana uongo. Maana hawana mawaa.