Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Petro 2:22 - Swahili Revised Union Version

22 Yeye hakutenda dhambi, wala udanganyifu haukuwapo kinywani mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Yeye hakutenda dhambi, wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Yeye hakutenda dhambi, wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Yeye hakutenda dhambi, wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 “Yeye hakutenda dhambi, wala hila haikuonekana kinywani mwake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 “Yeye hakutenda dhambi, wala hila haikuonekana kinywani mwake.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Yeye hakutenda dhambi, wala hila haikuonekana kinywani mwake.

Tazama sura Nakili




1 Petro 2:22
16 Marejeleo ya Msalaba  

Uuzuie ulimi wako na mabaya, Na midomo yako na kusema hila.


Wakamfanyia kaburi pamoja na wabaya; Na pamoja na matajiri katika kufa kwake; Ingawa hakutenda jeuri, Wala hapakuwa na hila kinywani mwake.


Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki; kwa sababu nimeteswa mengi leo katika ndoto kwa ajili yake.


Wakasema, Basi, haya yatuhusu nini sisi? Yaangalie haya wewe mwenyewe.


Nayo ni haki kwetu sisi, kwa kuwa tunapokea malipo tuliyostahili kwa matendo yetu; bali huyu hakutenda lolote lisilofaa.


Alipokwisha kusema hayo alikata roho. Yule jemadari alipoona yaliyotukia, alimtukuza Mungu, akisema, Hakika yake, mtu huyu alikuwa mwenye haki.


Basi Yesu akamwona Nathanaeli anakuja kwake, akanena habari zake, Tazama, Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake.


Ni nani miongoni mwenu anishuhudiaye ya kuwa nina dhambi? Nami nikisema kweli, mbona ninyi hamnisadiki?


Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye.


Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa kama sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.


kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu.


Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Nanyi mnajua ya kuwa yeye alidhihirishwa, ili aziondoe dhambi; na dhambi haimo ndani yake.


Na katika vinywa vyao haukuonekana uongo. Maana hawana mawaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo