Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 1:20 - Swahili Revised Union Version

Naye alikiri, wala hakukana; alikiri kwamba, Mimi siye Kristo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yohane hakukataa kujibu swali hilo, bali alisema waziwazi, “Mimi siye Kristo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yohane hakukataa kujibu swali hilo, bali alisema waziwazi, “Mimi siye Kristo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yohane hakukataa kujibu swali hilo, bali alisema waziwazi, “Mimi siye Kristo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yahya alikiri waziwazi pasipo kuficha, akasema, “Mimi si Al-Masihi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yahya alikiri waziwazi pasipo kuficha akasema, “Mimi si Al-Masihi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye alikiri, wala hakukana; alikiri kwamba, Mimi siye Kristo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 1:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru.


Naye Yohana alipokuwa akimaliza mwendo wake alinena, Mnadhani mimi ni nani? Mimi siye. Lakini, angalieni, anakuja mmoja nyuma yangu ambaye mimi sistahili kumlegezea viatu vya miguu yake.