Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 26:3 - Swahili Revised Union Version

Jinsi ulivyomshauri huyo asiye na hekima! Na kutangaza ujuzi wa kweli kwa wingi!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jinsi gani ulivyomshauri asiye na hekima, na kumshirikisha ujuzi wako!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jinsi gani ulivyomshauri asiye na hekima, na kumshirikisha ujuzi wako!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jinsi gani ulivyomshauri asiye na hekima, na kumshirikisha ujuzi wako!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonesha!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jinsi ulivyomshauri huyo asiye na hekima! Na kutangaza ujuzi wa kweli kwa wingi!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 26:3
17 Marejeleo ya Msalaba  

Hapana shaka ninyi ndinyi watu halisi, Nanyi mtakapokufa, ndipo na hekima itakoma.


Lakini mimi pia, nina fahamu kama ninyi; Mimi si duni kuliko ninyi; Naam, ni nani asiyejua mambo kama hayo?


Laiti mngenyamaza kabisa! Hilo lingekuwa hekima kwenu.


Lakini rudini; ninyi nyote, njoni sasa; Wala sitampata mtu mwenye hekima kati yenu.


Jinsi ulivyomsaidia huyo asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono usio na nguvu!


Je! Umetamka maneno kwa nani? Kisha ni roho ya nani iliyotoka kwako?


Maneno yangu yatatamka uelekevu wa moyo wangu; Na hayo niyajuayo midomo yangu itayanena kwa unyofu.


Kama sivyo, unisikilize mimi; Nyamaza, nami nitakufunza hekima.


Ni nani huyu atiaye ushauri giza Kwa maneno yasiyo na maarifa?


Je! Si kwamba sina msaada ndani yangu. Tena kwamba kufanikiwa kumeondolewa mbali nami?


ya kuwa sikujiepusha katika kuwatangazia neno lolote liwezalo kuwafaa bali niliwafundisha waziwazi, na nyumba kwa nyumba,


Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.