Yakobo 5:2 - Swahili Revised Union Version Mali zenu zimeoza, na mavazi yenu yameliwa na nondo. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mali zenu zimeoza, na nguo zenu zimeliwa na nondo. Biblia Habari Njema - BHND Mali zenu zimeoza, na nguo zenu zimeliwa na nondo. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mali zenu zimeoza, na nguo zenu zimeliwa na nondo. Neno: Bibilia Takatifu Utajiri wenu umeoza, na mavazi yenu yameliwa na nondo. Neno: Maandiko Matakatifu Utajiri wenu umeoza na mavazi yenu yameliwa na nondo. BIBLIA KISWAHILI Mali zenu zimeoza, na mavazi yenu yameliwa na nondo. |
Ukimrudi mtu kwa kumkemea kwa uovu wake, Watowesha uzuri wake kama nondo. Kila mwanadamu ni ubatili.
Tazama, Bwana MUNGU atanisaidia; ni nani atakayenihukumu kuwa mwenye hatia? Tazama hao wote watachakaa kama vazi; nondo atawala.
Maana nondo atawala kama vazi, na funza atawala kama sufu; bali haki yangu itakuwa ya milele, na wokovu wangu hata vizazi vyote.
Kama kware akusanyaye makinda asiyoyaangua, ndivyo alivyo mtu ajipatiaye mali, wala si kwa haki, katikati ya maisha yake itamtoka, na mwisho wake atakuwa mpumbavu.
Kwa sababu hiyo mimi nimekuwa kama nondo kwa Efraimu, nimekuwa kama ubovu kwa nyumba ya Yuda.
Viuzeni mlivyo navyo, mtoe sadaka. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, akiba isiyopungua katika mbingu, mahali pasipokaribia mwizi, wala nondo haharibu.
Maana akiingia katika sinagogi lenu mtu mwenye pete ya dhahabu na mavazi mazuri; kisha akiingia na maskini, mwenye mavazi mabovu;
tupate na urithi usioharibika, usio na uchafu, usionyauka, uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu.