Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 2:4 - Swahili Revised Union Version

je! Hamkufanya hitilafu mioyoni mwenu, mkawa waamuzi wenye mawazo maovu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi wenu haujatokana na fikira mbaya?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi wenu haujatokana na fikira mbaya?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi wenu haujatokana na fikira mbaya?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

je, hamjabagua kati yenu wenyewe na kuwa mahakimu wenye mawazo maovu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

je, hamjawabagua na kuwa mahakimu mioyoni mwenu mkihukumu kwa mawazo yenu maovu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

je! Hamkufanya hitilafu mioyoni mwenu, mkawa waamuzi wenye mawazo maovu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 2:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, nayajua mawazo yenu, Na mipango miovu mnayoazimia kufanya juu yangu.


Sembuse yeye huwajali nyuso za wakuu, Wala hawajali matajiri kuliko maskini? Kwani wote ni kazi ya mikono yake,


Maana atasimama mkono wa kulia wa mhitaji Amwokoe kutoka kwa wanaoihukumu nafsi yake.


Ni kweli, enyi wakuu, mnanena haki? Enyi wanadamu, mnahukumu kwa adili?


Hadi lini mtahukumu kwa dhuluma, Na kuzikubali nyuso za wabaya?


Kwa sababu hiyo mimi nami nimewafanya ninyi kuwa kitu cha kudharauliwa, na unyonge, mbele ya watu wote, kama vile ninyi msivyozishika njia zangu, bali mmewapendelea watu katika sheria.


Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule hakimu dhalimu.


Basi msihukumu kwa kuangalia kwa nje tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.


Ndugu, msisingiziane; amsingiziaye ndugu yake, au kumhukumu ndugu yake, huisingizia sheria na kuihukumu sheria. Lakini ukiihukumu sheria, huwi mtenda sheria, bali umekuwa hakimu.