Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 6:8 - Swahili Revised Union Version

BWANA akanena na Musa na kumwambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akamwambia Musa:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akamwambia Musa:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akanena na Musa na kumwambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 6:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa matoleo yake ni sadaka ya kuteketezwa ya ng'ombe, atatoa ng'ombe dume mkamilifu; ataleta mlangoni pa hema ya kukutania, ili akubaliwe mbele ya BWANA.


Kisha wana wa Haruni, watatia moto juu ya madhabahu, na kuzipanga kuni juu ya moto,


na huyo kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za BWANA, naye atasamehewa; katika jambo lolote alifanyalo hata akapata kuwa mwenye hatia kwalo.


Haya, mwagize Haruni na wanawe, uwaambie, Amri ya sadaka ya kuteketezwa ni hii; hiyo sadaka ya kuteketezwa itakuwa pale motoni juu ya madhabahu usiku wote hadi asubuhi; na huo moto wa madhabahu utawaka juu yake usizimike.