Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 18:12 - Swahili Revised Union Version

Usifunue utupu wa dada ya baba yako; maana, yeye ni jamaa wa karibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kamwe usilale na shangazi yako; kwani huyo ni dada wa baba yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kamwe usilale na shangazi yako; kwani huyo ni dada wa baba yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kamwe usilale na shangazi yako; kwani huyo ni dada wa baba yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Usikutane kimwili na dada wa baba yako; ni ndugu wa karibu wa baba yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Usikutane kimwili na dada wa baba yako; ni ndugu wa karibu wa baba yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usifunue utupu wa dada ya baba yako; maana, yeye ni jamaa wa karibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 18:12
4 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo Amramu akamwoa Yokebedi shangazi yake; naye akamzalia Haruni, na Musa; na miaka ya maisha yake Amramu ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na saba.


Utupu wa binti ya mkewe baba yako, aliyezaliwa na baba yako, yeye ni dada yako, usifunue utupu wake.


Usifunue utupu wa dada ya mama yako; maana, yeye ni jamaa ya mama yako wa karibu.


Usifunue utupu wa dada ya mama yako, wala dada ya baba yako; kwa kuwa huyo amefunua utupu wa jamaa yake ya karibu; watalipizwa kwa uovu wao.