Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 13:41 - Swahili Revised Union Version

Tena kwamba nywele za mtu zimemtoka kichwani upande wa mbele, yeye ni mwenye upara wa kipaji; ni safi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Iwapo upara huo umetanda tangu nyuma mpaka mbele mtu huyo ana upara tu na yu safi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Iwapo upara huo umetanda tangu nyuma mpaka mbele mtu huyo ana upara tu na yu safi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Iwapo upara huo umetanda tangu nyuma mpaka mbele mtu huyo ana upara tu na yu safi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ikiwa hana nywele kwenye ngozi ya kichwa chake, na ana upara kwenye paji, ni safi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ikiwa hana nywele kwenye ngozi ya kichwa chake, na ana upaa tangu kwenye paji, ni safi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena kwamba nywele za mtu zimemtoka kichwani upande wa mbele, yeye ni mwenye upara wa kipaji; ni safi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 13:41
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kwamba nywele za mtu zimemtoka kichwani mwake, yeye ni mwenye upara, ni safi.


Lakini kwamba katika kile kichwa kilicho na upara, au kile kipaji kilicho na upara, laonekana pigo jeupe kisha jekundu kidogo; ni ukoma, unatokea katika kichwa chake cha upara, au katika kipaji chake cha upara.