Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 13:16 - Swahili Revised Union Version

Au kama hicho kidonda kibichi kinageuka tena na kuwa cheupe, ndipo atamwendea kuhani,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini hicho kidonda kikigeuka tena kuwa cheupe, mtu huyo atarudi kwa kuhani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini hicho kidonda kikigeuka tena kuwa cheupe, mtu huyo atarudi kwa kuhani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini hicho kidonda kikigeuka tena kuwa cheupe, mtu huyo atarudi kwa kuhani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hiyo nyama mbichi ikigeuka na kuwa nyeupe, ni lazima amwendee kuhani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hiyo nyama mbichi ikigeuka na kuwa nyeupe, ni lazima amwendee kuhani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Au kama hicho kidonda kibichi kinageuka tena na kuwa cheupe, ndipo atamwendea kuhani,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 13:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kuhani atakiangalia hicho kidonda kibichi, naye atasema kuwa ni najisi; kile kidonda kibichi ni najisi; ni ukoma.


na huyo kuhani atamwangalia; ikiwa hilo pigo limegeuzwa kuwa jeupe, ndipo huyo kuhani atasema kuwa huyo aliyekuwa na pigo ni safi.


Ikawa, alipokuwa katika mmojawapo wa miji ile, tazama, palikuwa na mtu amejaa ukoma; naye alipomwona Yesu alianguka kifudifudi, akamwomba akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.