Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 11:9 - Swahili Revised Union Version

Katika hao wote walio ndani ya maji mtakula hawa; kila aliye na mapezi na magamba, ndani ya hayo maji, na ndani ya bahari, na ndani ya mito, mtakula hao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Samaki yeyote wa baharini au mtoni mwenye mapezi na magamba, mnaweza kumla.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Samaki yeyote wa baharini au mtoni mwenye mapezi na magamba, mnaweza kumla.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Samaki yeyote wa baharini au mtoni mwenye mapezi na magamba, mnaweza kumla.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Kuhusu viumbe wote wanaoishi ndani ya maji ya bahari na vijito, mtakula wale wote wenye mapezi na magamba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Kuhusu viumbe wote wanaoishi ndani ya maji ya bahari na vijito, mtakula wale wote wenye mapezi na magamba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika hao wote walio ndani ya maji mtakula hawa; kila aliye na mapezi na magamba, ndani ya hayo maji, na ndani ya bahari, na ndani ya mito, mtakula hao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 11:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na hao wote wasio na mapezi na magamba, ndani ya bahari, na ndani ya mito, katika hao waendao majini, na katika wote wenye uhai, waliomo majini, hao ni machukizo kwenu,


Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.


nikiwashuhudia Wayahudi na Wagiriki wamtubie Mungu, na kumwamini Bwana wetu Yesu Kristo.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Lakini mtu atasema, Wewe unayo imani, nami ninayo matendo. Nionyshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonesha imani yangu kwa njia ya matendo yangu.