Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Walawi 11:5 - Swahili Revised Union Version

Na wibari, kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pelele msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pelele msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pelele msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wibari, kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Walawi 11:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wao hufa wakingali vijana, Na uhai wao huangamia katikati ya wachafu.


Milima mirefu ndiko waliko mbuzi wa mwitu, Na magenge ni kimbilio lao wibari.


Kwanga ni watu dhaifu; Lakini hujifanyia nyumba katika miamba.


Kila mnyama mwenye kwato katika miguu yake, mwenye miguu iliyopasuka kati, mwenye kucheua, katika hayawani, hao ndio mtakaowala.


Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.


Na sungura, kwa sababu hucheua, lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.


Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga;


Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;


walio na utaua kwa nje, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.


Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana; ni wenye machukizo, waasi, wala hawafai kwa tendo lolote jema.