Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 11:6 - Swahili Revised Union Version

6 Na sungura, kwa sababu hucheua, lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Sungura msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Sungura msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Sungura msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Na sungura, kwa sababu hucheua, lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili




Walawi 11:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kila mnyama mwenye kwato katika miguu yake, mwenye miguu iliyopasuka kati, mwenye kucheua, katika hayawani, hao ndio mtakaowala.


Na wibari, kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.


Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.


Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo