Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Wafilipi 4:20 - Swahili Revised Union Version

Sasa atukuzwe Mungu, Baba yetu, milele na milele. Amina.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utukufu uwe kwa Mungu wetu na Baba yetu, milele na milele. Amina.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utukufu uwe kwa Mungu wetu na Baba yetu, milele na milele. Amina.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utukufu uwe kwa Mungu wetu na Baba yetu, milele na milele. Amina.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sasa atukuzwe Mungu, Baba yetu, milele na milele. Amina.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Wafilipi 4:20
19 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, kutukuza usitutukuze sisi, Bali ulitukuze jina lako, Kwa ajili ya fadhili zako, Kwa ajili ya uaminifu wako.


Jina lake tukufu na lihimidiwe milele; Dunia yote na ijae utukufu wake. Amina na Amina.


na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.


Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje,


Kwa kuwa vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, tena vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amina.


Ndiye Mungu mwenye hekima peke yake. Utukufu una yeye kwa Yesu Kristo, milele na milele. Amina.


naam, atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu hata vizazi vyote vya milele na milele. Amina.


akiwa mmejazwa matunda ya haki, kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.


Neema ya Bwana Yesu Kristo na iwe pamoja na roho zenu.


Sasa kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kuona uharibifu, asiyeonekana, Mungu peke yake, na iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.


Yeye aliye Mungu pekee, Mwokozi wetu kwa Yesu Kristo Bwana wetu; utukufu una yeye, na ukuu, na uwezo, na nguvu, tangu milele, na sasa, na hata milele. Amina.


na kutufanya kuwa ufalme, na makuhani kwa Mungu, naye ni Baba yake; utukufu na ukuu una Yeye hata milele na milele. Amina.


Na katika saa ile palikuwa na tetemeko kuu la nchi, na sehemu ya kumi ya mji ikaanguka; wanadamu elfu saba wakauawa katika tetemeko lile. Na waliobakia wakaingiwa na hofu, wakamtukuza Mungu wa mbingu.


akasema kwa sauti kuu, Mcheni Mungu, na kumtukuza, kwa maana saa ya hukumu yake imekuja. Msujudieni yeye aliyezifanya mbingu na nchi na bahari na chemchemi za maji.


wakisema kwa sauti kuu, Astahili Mwana-kondoo aliyechinjwa, kuupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.


wakisema, Amina; Baraka na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu zina Mungu wetu hata milele na milele. Amina.