Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waefeso 5:12 - Swahili Revised Union Version

kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mambo yanayotendwa kwa siri ni aibu hata kuyataja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waefeso 5:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Maana wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na hadharani.


Maji yaliyoibiwa ni matamu, Na mkate ulioliwa kwa siri hupendeza.


Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.


Je, mtu yeyote aweza kujificha mahali pa siri, nisimwone? Asema BWANA. Je! Mbingu na nchi hazikujawa nami? Asema BWANA.


katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na Injili yangu, kwa Kristo Yesu.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Lakini chochote kinachoangazwa na nuru hudhihirishwa, maana chochote kile kilichoadhihirika ni nuru.


Lakini uasherati usitajwe kwenu kamwe, wala uchafu wowote wa kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu;


Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya Mataifa; kuishi katika uzinzi, tamaa, ulevi, na karamu za kula na kunywa vileo kupindukia, na ibada haramu ya sanamu;


Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, kulingana na matendo yao.