Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 9:20 - Swahili Revised Union Version

akisema, Hii ni damu ya agano mliloamriwa na Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose alisema: “Hii ni damu inayothibitisha agano mliloamriwa na Mungu mlitii.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose alisema: “Hii ni damu inayothibitisha agano mliloamriwa na Mungu mlitii.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose alisema: “Hii ni damu inayothibitisha agano mliloamriwa na Mungu mlitii.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alisema, “Hii ndiyo damu ya agano, ambalo Mungu amewaamuru kulitii.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alisema, “Hii ndiyo damu ya agano, ambalo Mwenyezi Mungu amewaamuru kulitii.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

akisema, Hii ni damu ya agano mliloamriwa na Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 9:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Musa akaitwaa ile damu, akawanyunyizia watu, akasema, Hii ndiyo damu ya agano alilolifanya BWANA pamoja nanyi katika maneno haya yote.


Na kwa habari zako wewe, kwa sababu ya damu ya agano lako, nimewatoa wafungwa wako katika shimo lile lisilo na maji.


kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.


ili uingie katika agano la BWANA, Mungu wako, na kiapo chake, afanyacho nawe BWANA, Mungu wako, hivi leo;


Basi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,


Nao wakamwendea Yoshua hadi kambini huko Gilgali, nao wakamwambia yeye na watu wa Israeli, Sisi tumetoka nchi ya mbali sana; basi kwa hiyo fanyeni agano pamoja nasi.