Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 7:24 - Swahili Revised Union Version

bali yeye, kwa kuwa anakaa milele, anao ukuhani wake usioondoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kwa sababu Isa anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kwa sababu Isa anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

bali yeye, kwa kuwa anakaa milele, anao ukuhani wake usioondoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 7:24
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mkutano wakamjibu, Sisi tumesikia katika torati ya kwamba Kristo adumu hata milele; nawe wasemaje ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kuinuliwa? Huyu Mwana wa Adamu ni nani?


tukijua ya kuwa Kristo akiisha kufufuka katika wafu hafi tena, wala mauti haimtawali tena.


ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina.


Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele.


Maana torati yawaweka wanadamu walio na unyonge kuwa makuhani wakuu; bali hilo neno la kiapo kilichokuja baada ya torati limemweka Mwana, aliyekamilika hata milele.


na aliye hai; nami nilikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.


Nami nitajiinulia kuhani mwaminifu, atakayefanya kulingana na yale yaliyo katika moyo wangu na katika akili yangu; nami nitamjengea nyumba iliyo imara; naye atakwenda mbele ya masihi wangu milele.