Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 6:15 - Swahili Revised Union Version

Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abrahamu alisubiri kwa uvumilivu na hivyo akapokea kile alichoahidiwa na Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abrahamu alisubiri kwa uvumilivu na hivyo akapokea kile alichoahidiwa na Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abrahamu alisubiri kwa uvumilivu na hivyo akapokea kile alichoahidiwa na Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ibrahimu naye, baada ya kungoja kwa saburi, alipokea kile kilichoahidiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ibrahimu naye, baada ya kungoja kwa saburi, alipokea kile kilichoahidiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 6:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abramu akaenda, kama BWANA alivyomwamuru; Lutu akaenda pamoja naye. Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka Harani.


Na wana wa Israeli walikuwa na uzazi sana, na kuongezeka mno, na kuzidi kuwa wengi, nao wakaendelea na kuongezeka nguvu; na ile nchi ilikuwa imejawa na wao.


ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu.


Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya, ili, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya agano la kwanza, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.