Waebrania 4:5 - Swahili Revised Union Version na tena kunena hapa napo, Hawataingia pumzikoni mwangu. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Tena jambo hili lasemwa pia: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko.” Biblia Habari Njema - BHND Tena jambo hili lasemwa pia: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko.” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Tena jambo hili lasemwa pia: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko.” Neno: Bibilia Takatifu Tena hapo awali amesema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.” Neno: Maandiko Matakatifu Tena hapo juu asema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.” BIBLIA KISWAHILI na tena kunena hapa napo, Hawataingia pumzikoni mwangu. |
Maana sisi tulioamini tunaingia katika pumziko lile; kama vile alivyosema, Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia pumzikoni mwangu: ijapokuwa zile kazi zilimalizika tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu.