Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 4:5 - Swahili Revised Union Version

na tena kunena hapa napo, Hawataingia pumzikoni mwangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena jambo hili lasemwa pia: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena jambo hili lasemwa pia: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena jambo hili lasemwa pia: “Hawataingia mahali pangu pa pumziko.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tena hapo awali amesema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tena hapo juu asema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na tena kunena hapa napo, Hawataingia pumzikoni mwangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 4:5
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Nikaapa kwa hasira yangu Hawataingia katika pumziko langu.


Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia rahani mwangu.


Maana sisi tulioamini tunaingia katika pumziko lile; kama vile alivyosema, Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia pumzikoni mwangu: ijapokuwa zile kazi zilimalizika tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu.