Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Waebrania 11:18 - Swahili Revised Union Version

naam, yeye aliyeambiwa, Katika Isaka uzao wako utaitwa,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ingawa Mungu alikuwa amemwambia: “Wazawa wako watatokana na Isaka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ingawa Mungu alikuwa amemwambia: “Wazawa wako watatokana na Isaka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ingawa Mungu alikuwa amemwambia: “Wazawa wako watatokana na Isaka.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

hata ingawa Mungu alikuwa amemwambia Ibrahimu, “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwa Isaka.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ingawa Mwenyezi Mungu alikuwa amemwambia Ibrahimu, “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwa Isaka,”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

naam, yeye aliyeambiwa, Katika Isaka uzao wako utaitwa,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Waebrania 11:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.


Mungu akamwambia Abrahamu, Neno hili lisiwe baya machoni pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao wako utaitwa.


Wala hawawi wote wana kwa kuwa wazawa wa Abrahamu, bali, Katika Isaka wazawa wako wataitwa;


Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,